Kichaa kuungana tena na Prof Jay
Msanii wa muziki wa bongofleva Mzungu Kichaa amesema kuwa bado ana imani kubwa kufanya kolabo na msanii wa muziki ambaye sasa ni Mbunge mteule wa Jimbo la Mikumi katika Wilaya ya Kilosa, Joseph Haule, maarufu kama Profesa J.