Mazungumzo Z'bar yashirikishe wadau wote-Wanasiasa

James Mbatia ni mmoja wa Viongozi wa Umoja wa UKAWA, na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi ambaye jana ametoa maoni juu ya mgogoro wa Zanzibar

Baadhi ya viongozi wa siasa nchini wametaka wigo wa mazungumzo ya mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar upanuliwe kwa kushirikisha wadau wote badala ya kuviachia vyama vinavyovutana vya CCM na CUF peke yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS