Asilimia 40 ya Watanzania wanatumia simu Feki
Serikali imesema itazima simu za watanzania kwa zaidi ya asilimia 40 kutokana na kutokukidhi kwa viwango vya ubora wa simu hizo baada ya mfumo mpya wa rajisi wa namba tambulishi wa vifaa vya kiganjani kuanza kutumika.