Serikali yaingilia kati mgogoro chama cha Tumbaku
Naibu waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi mhe. William Ole Nasha, amemuagiza msajili wa vyama vya ushirika nchini kuunda tume itakayotoa majibu juu ya mgogoro unaoendelea ndani ya chama cha msingi cha wakulima wa tumbaku cha Mpanda mkoani Katavi.
