Binti wa miaka 13 aozeshwa kwa laki 6

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu

Mama mmoja Mkoani Dodoma anatuhumiwa kumuozesha mtoto wake mwenye umri wa miaka 13 (jina linahifadhiwa) kwa mahari ya shilingi laki sita pamoja na ng’ombe wanne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS