Binti wa miaka 13 aozeshwa kwa laki 6 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu Mama mmoja Mkoani Dodoma anatuhumiwa kumuozesha mtoto wake mwenye umri wa miaka 13 (jina linahifadhiwa) kwa mahari ya shilingi laki sita pamoja na ng’ombe wanne. Read more about Binti wa miaka 13 aozeshwa kwa laki 6