Asilimia 49 ya wanaume TZ, wamesingiziwa watoto

Watoto picha na maktaba

Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS