Simba hawapo makini na makocha - Mwaisabula Kocha wa siku nyingi na mchambuzi wa mpira wa soka nchini Tanzania Kenny Mwaisabula "Mzazi" amesema klabu ya Simba haipo makini katika kuchagua makocha sahihi na ndo maana inatimua makocha kila wakati. Read more about Simba hawapo makini na makocha - Mwaisabula