Milioni 17 zakusanywa kwa makosa ya barabarani
Jeshi la polisi mkoani Njombe limekusanya zaidi ya shilingi milioni 17 ikiwa ni tozo la faini kwa madereva wa pikipiki na magari wanao kiuka taratibu za usalama barabarani katika oparesheni yao ya siku chache iliyoanza mwanzoni mwa mwaka huu.

