Milioni 17 zakusanywa kwa makosa ya barabarani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Wilbrod Mtafungwa

Jeshi la polisi mkoani Njombe limekusanya zaidi ya shilingi milioni 17 ikiwa ni tozo la faini kwa madereva wa pikipiki na magari wanao kiuka taratibu za usalama barabarani katika oparesheni yao ya siku chache iliyoanza mwanzoni mwa mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS