Rais Dkt. Magufuli,Maalim Seif wakutana Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amekutana naMakamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharrif Hamad,jana tarehe 21 Desemba, 2015 Ikulu Jijini Dar