Tokomeza kipindupindu yazua tafrani Morogoro
Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakishirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na JWTZ wametumia nguvu kuwaondoa wafanyabiashara wa vyakula na matunda wanaofanya biashara hiyo pembezoni mwa barabara zikiwa ni jitihada za kutokomeza kipindupindu.
