Rwanda yawa ya kwanza kutinga robo fainali CHAN.

Michuano ya CHA 2016

Wenyeji wa michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wachezao ndani CHAN timu ya taifa ya Rwanda imekuwa ya kwanza kutinga hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo kufuatia ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Gabon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS