Tokomeza kipindupindu yazua tafrani Morogoro

Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakiwakamata kwa nguvu baadhi ya Wananchi waliokaidi zoezi la kuondolewa kwa mama ntilie katikati ya Mji

Mgambo wa Manispaa ya Morogoro wakishirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na JWTZ wametumia nguvu kuwaondoa wafanyabiashara wa vyakula na matunda wanaofanya biashara hiyo pembezoni mwa barabara zikiwa ni jitihada za kutokomeza kipindupindu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS