Dar kukosa maji yakutumia kwa siku 2 Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) limetangaza kuzima mitambo ya maji kuzalisha maji wa Ruvu Chini kwa wastani wa saa 48 kwa siku za Jumamosi 23/01/2016 na Jumapili 24/01/2016. Read more about Dar kukosa maji yakutumia kwa siku 2