Dar kukosa maji yakutumia kwa siku 2

Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) limetangaza kuzima mitambo ya maji kuzalisha maji wa Ruvu Chini kwa wastani wa saa 48 kwa siku za Jumamosi 23/01/2016 na Jumapili 24/01/2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS