Neymar aingarisha Barcelona kombe la mfalme.

Mshambuliaji wa Barcelona Neymar akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao katika mchezo wa jana dhidi ya Athletic Bilbao

klabu ya soka ya Barcelona imeanza vyema Robo Fainali ya Kombe la Mfalme huku Atletico Madrid wakibanwa katika Mechi za Kwanza za hatua hiyo hapo Jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS