Kamati ya hadhi za wachezaji ya TFF kukutana kesho

Kamati ya sheria na hadhi za wachezaji ya shirikisho la soka nchini inatarajia kukutana hapo kesho kupitia usajili ambao haujakamilika kwa pande mbili kuweza kukabiliana pamoja na kesi za nyuma za madai kati ya wachezaji na vilabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS