Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga Henry Arika akizungumza na Waandishi wa Habar
Mamlaka ya Bandari Tanga inakabiliwa na changamoto ya chombo cha kuingiza meli bandarini kiitwacho maarufu kama tagi hali inayopelekea kukwama kwa huduma muhimu katika bandari hiyo.