Ngome watamba kutwaa ubingwa wa masumbwi wa Taifa.

kocha mkuu wa timu ya ngumi ya Ngome akitoa mafunzo kwa mmoja ya mabondia watakaopanda ulingoni februari sita mwaka huu kwenye mashindano ya wazi ya Taifa

kocha mkuu wa timu ya ngumi ya Ngome ya jijini Dar esalam Hassan Mzonge amesema kwa sasa anawapa vijana wake mazoezi ya kutosha zikiwemo mbinu na ufundi ili waweze kuibuka washindi wa mashindano ya wazi ya Taifa yanayotarajiwa kuanza februari sita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS