Wananchi waandamana kupinga uuzwaji wa ardhi
Zaidi ya Wafugaji 200 kutoka kijiji cha Wami Dakawa kilichopo wilaya Mvomero mkoani Morogoro wameandamana wakiulalamikia uongozi wa Kijiji hicho kuuza eneo lenye ukubwa wa hekari zaidi ya 600 bila kushirikishwa.

.jpg?itok=LH_Q2oJe)