Waziri Mkuu akutana na balozi wa Qatar na Kuwait

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na balozi wa Qatar nchini, Mhe. Abdallah Jassim al Maadadi ofisini kwake jijini Dar es salaam

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili kutoka nchi za Qatar na Kuwait.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS