Waziri Mkuu akutana na balozi wa Qatar na Kuwait Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na balozi wa Qatar nchini, Mhe. Abdallah Jassim al Maadadi ofisini kwake jijini Dar es salaam Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili kutoka nchi za Qatar na Kuwait. Read more about Waziri Mkuu akutana na balozi wa Qatar na Kuwait