Vilabu vyazuiwa kutumia mabondia wa Timu ya taifa
Shirikisho la Ngumi za Ridhaa nchini BFT limezuia Klabu kuwatumia mabondia wa Timu ya Taifa kwa ajili ya mashindano ya Klabu bingwa yaliyopangwa kufanyika Februari sita mpaka 14 mwaka huu jijini Dar es salaam.

