Bunge limemuangusha Rais Magufuli - Mtatiro

Mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mwanasheria kutoka Chama cha Wananchi (CUF) Julius Mtatiro amesema Bunge limemwangusha Rais Magufuli kwa kuchagua kamati dhaifu katika kamati zilizotangazwa hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS