Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Titus Kaguo.
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetahadharisha watu wanaouza mafuta ya Petroli kiholela majumbani kwani kunaweza kusababisha hatari ikiwemo milipuko ambayo inaweza kusababisha madhara.