CHADEMA muungeni mkono Magufuli -Nape

Chama cha Mapinduzi CCM kimekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), endapo kina nia ya dhati ya kupambana na ufisadi,kijitangaze hadharani kumuunga mkono Rais John Magufuli katika vita hiyo na si kuudanganya umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS