Dk. Magufuli aahidi kuendelea kutumbua majipu

Rais Magufuli, ameahidi kuendelea kutumbua majipu na kuwaagiza wakuu wa mikoa nchini, kuhakikisha wananchi wao hawakumbwi na njaa na atakayeacha wananchi wakakosa chakula na kupoteza maisha atawajibishwa mara moja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS