Vanessa ataja kilichompandisha juu
Msanii wa muziki Vanessa Mdee ametoa maneno ya hamasa kwa wasanii wanaochipukia kuwa na malengo, kufanya kazi sana na kufanya maombi, vitu ambavyo binafsi ana amini ndivyo vilivyomsaidia kufikia mafanikio makubwa kabisa ndani na nje ya nchi 2015.