CHADEMA muungeni mkono Magufuli -Nape
Chama cha Mapinduzi CCM kimekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), endapo kina nia ya dhati ya kupambana na ufisadi,kijitangaze hadharani kumuunga mkono Rais John Magufuli katika vita hiyo na si kuudanganya umma.

