TRA yatakiwa kudhibiti ubadilishaji fedha mpakani

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Ashatu Kijaji akiwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji ameitaka Mamlaka ya Mapato TRA mkoa wa Mbeya kuhakikisha inaandaa mpango maalum kwa ajili kudhibiti mapato yanayopotea kutokana na biashara ya ubadilishaji wa fedha kiholela katika mpaka wa Tunduma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS