Moja ya Mashamba ya zao la Alizeti ambalo hutumika kutengenezea mafuta nchini.
Wazalishaji, watafiti na wakulima wa mbegu za mafuta ya kula nchini wameitaka serikali kuzuia uingizaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi kwani yamekuwa yakisababisha kudorora kwa soko la mafuta.