Yanga yajiandaa na mechi 16 za ligi kuu

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Young Africans wamesema mechi ya majaribio waliyocheza dhidi ya Friends Rangers ni sehemu ya kufanya marekebisho ya makosa yaliyojitokeza katika mchezo uliopita dhidi ya Stand United.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS