Tumeshafikisha fedha wilaya zote - Simbachawene

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa nchini TAMISEMI Mhe. George SimbaChawene

Serikali imesema kuwa tayari imekwisha peleka fedha kwenye wilaya zote Tanzania bara na tayari wameshawapa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi na kuwataka kuhakikisha wanazisimamia fedha hizo ziende moja kwa moja kwenye mashule husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS