Congo DR watinga robo fainali ya CHAN 2016

Michuano ya CHAN 2016 yazidi kufana nchini Rwanda

Timu ya taifa ya DR Congo imeungana na wenyeji Rwanda kwenye robo fainali ya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wachezao ligi za ndani kufuatia ushindi wa bao 4-2 dhidi ya Angola.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS