Wasanii Zanzibar wamuombea dua Karume

msanii wa muziki kutoka kisiwani Zanzibar

Wasanii kutoka visiwani Zanzibar, wametumia wakati wao leo hii kutembelea kaburi la Rais wa Kwanza wa Zanzibar na kiongozi wa mapinduzi, Hayati Sheikh Abeid Amani Karume kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 52 ya mapinduzi ya kitaifa hapo jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS