Waziri Mkuu aagiza TAMISEMI isimamie Mikoa vizuri

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ndiyo kitovu cha nchi hivyo ameitaka ihakikishe inaisimamia vizuri mikoa na halmashauri ili Serikali iweze kupata matokeo mazuri na tarajiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS