Umoja na ushirikiano ndiyo nguzo yetu - Tambwe

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Amisi Tambwe akishangilia moja ya bao alilofunga wakati klabu yake ikiiadhibu Stand United ya Shinyanga.

Mshambuliaji wa klabu ya Yanga Amisi Tmbwe amesema umoja na ushirikiano walionao kwenye timu yao ndiyo unaowafanya wafunge na kushinda kwa kila mechi za ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS