Mwenyekiti anusurika kuuawa kwa tuhuma za rushwa

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Muhingo Rweyemamu

Mwenyekiti wa kijiji cha Kisaki Stesheni Wilayani Morogoro,Ismail N'ganji, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali yakiwemo makundi ya wakulima na wafugàji, wakimtuhumu kuchukua fedha kwa makundi ya wafugaji kwa nia ya kuwapatia ardhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS