Dkt. Magufuli ahaidi ushirikiano na AfDB nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Tonia Kandiero

Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe magufuli amemuhakikishia mwakilishi makazi wa banki ya Maendeleo ya Africa Dkt. Tonia Kandiero kuwa serikali yake itaendelea kushirikiana na benki hiyo katika utekelezaji wa miradi mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS