Bomu lalipuka ndani ya gari mgahawani -Somalia Maafisa wa polisi Mjini Mogadishu wameripoti kuwa Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka nje ya mgahawa mmoja uliopo katika ufukwe wa bahari katika mji mkuu wa Somalia . Read more about Bomu lalipuka ndani ya gari mgahawani -Somalia