Arumeru kuanza operesheni kubaini mashirika feki

Mkuu wa wilaya ya Arumeru Wilson Nkambako.

Wilaya ya Arumeru inakusudia kuanzisha operesheni maalumu ili kubaini wamiliki matapeli wa mashirika yasiokuwa ya kiserikali yaliyopo wilayani humo, wanayodaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kurudisha nyuma maendeleo ya taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS