Arumeru kuanza operesheni kubaini mashirika feki
Wilaya ya Arumeru inakusudia kuanzisha operesheni maalumu ili kubaini wamiliki matapeli wa mashirika yasiokuwa ya kiserikali yaliyopo wilayani humo, wanayodaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kurudisha nyuma maendeleo ya taifa.