Kukutana na Obama kwamjenga Lamar

Rapa Kendrick Lamar wa nchini Marekani

Rapa Kendrick Lamar ambaye amepata nafasi ya kipekee ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Barack Obama Ikulu ya Marekani, ameeleza kuwa amekuwa na mazungumzo muhimu kabisa juu ya yale yanayoendelea katika nchini Marekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS