Bulembo aonya walimu wakuu shule za Wazazi
Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi ya CCM Abdallah Bulembo amewaambia walimu wakuu wa shule za sekondari zinazomilikiwa na jumuiya hiyo kama hawawezi kazi waache kazi kuliko kuingiza siasa kwenye ukusanyaji wa mapato ya jumuiya hiyo.
