USAID kusaidia elimu Mkoa wa Mtwara
Halmashauri za Tandahimba na Masasi mkoani Mtwara zimenufaika na mradi wa TZ 21Century unaofadhiliwa na shirikala la kimataifa la USAID la nchini Marekani, wenye lengo la kuinua elimu ya msingi kwa wanafunzi wa darasa la kwanza mpaka la Nne.