Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 yakosolewa

Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dkt Jakaya Kikwete akionesha kitabu cha sera ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014, katika tukio la uzinduzi wa sera hiyo jijini Dar es salaam, mwezi Feb. mwaka 2015.

Shirika la Haki Elimu kwa kushirikiana na wanataaluma mbalimbali kutoka katika vyuo vikuu nchini, limeikosoa sera mpya ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS