Dakika 90 za soka zinanichosha - Wema

Muigizaji Wema Sepetu, amesema mchezo wa soka unamchosha kuangalia kwa kuwa unatumia muda mrefu wa dakika 90 huku wachezaji wake wakihangaika mno kutafuta mabao tofauti na mpira wa kikapu (Basketball).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS