Nani kucheka NBA ni fainali ya James na Curry leo

Wachezaji Le Bron James na Stephen Curry kuamua bingwa wa NBA

Kwa wale wanaofuatailia na kuitazama kwa ukaribu michuano ya mpira wa kikapu nchini Marekani NBA hasa katika michezo ya fainali zake ni wazi atakili ni mchuano mkubwa baina ya miamba LeBron James na Stephen Curry ambao wamekuwa wakizisaidia timu zao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS