Wakuu wa Wilaya kasimamieni miradi- Majaliwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa wilaya walioteuliwa hivi karibuni kusimamia miradi ya maendeleo katika maeneo yao ili waweze kumuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika maeneo yao. Read more about Wakuu wa Wilaya kasimamieni miradi- Majaliwa