Ugonjwa Usiojulikana waua Watu 7 mkoani Dodoma

Waziri Ummy Mwalimu akiwasikiliza wananchi katika moja ya Ziara zake

Watu saba wamefaiki Dunia na wengine 21 wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kondoa na ya Rufaa ya Dodoma baada ya kuibuka ugonjwa unaohusishwa na ulaji wa vyakula vyenye sumukuvu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS