Waziri Ummy Mwalimu akiwasikiliza wananchi katika moja ya Ziara zake
Watu saba wamefaiki Dunia na wengine 21 wamelazwa katika hospitali ya wilaya ya Kondoa na ya Rufaa ya Dodoma baada ya kuibuka ugonjwa unaohusishwa na ulaji wa vyakula vyenye sumukuvu.