Vardy kuanza mechi ya Uingereza dhidi ya Slovakia
Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy anatarajiwa kutajwa kuanza katika kikosi cha kwanza cha England kitakachoivaa Slovakia kwenye mechi yao ya mwisho ya kundi B ya michuano ya mataifa ya Ulaya inayopigwa nchini Ufaransa.