Rais Magufuli azindua mpango wa ugawaji madawati

Rais John Magufuli akikabidhi madawati kwa baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Bunge iliyopo jijini Dar es salaam baada ya kukabidhiwa na Ofisi ya Bunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amezindua mpango wa ugawaji wa madawati yanayotengenezwa kutokana na fedha zilizotolewa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kubana matumizi katika bajeti yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS