Celtic yaumbuliwa na timu ya waajiriwa wa Umma

Baadhi ya waajiriwa wa umma kutoka, Idara ya zimamoto, Forodha, na biashara ya usafirishaji abiria (Teksi), wa timu ya Gibraltar imeweza kuwaumbua vigogo wa Scottland, Celtic katika mechi za kufuzu michuano ya klabu bingwa barani Ulaya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS