Hatuangalii wachezaji, Mtibwa ni timu bora-Mayanga Kocha wa Mtibwa Sugar, Salum Mayanga Kikosi cha Mtibwa Sugar kimeendelea na mazoezi yake chini ya Kocha Salum Mayanga ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara. Read more about Hatuangalii wachezaji, Mtibwa ni timu bora-Mayanga