Mazungumzo ya amani Burundi yashindwa kuanza

Mpatanishi wa Mgogoro wa Burundi Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamini Mkapa akiingia katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa Jijini Arusha

Mazungumzo ya kutafuta amani ya Burundi chini ya rais mstaafu wa Tanzania Benjamin William Mkapa yaliyotarajiwa kuanza jana jijini Arusha yameshindwa kufunguliwa kufuatia hali ya kutoelewana kati ya pande zinazo hasimiana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS