Prof. Benno Ndulu "Yuan" ya China itatunufaisha

Magavana kutoka nchi zilizopo katika taasisi ya usimamizi wa fedha na uchumi kusini na mashariki mwa Africa (MEFMI ) wamepongeza hatua ya Shirika la Fedha Duniani IMF kuingiza pesa ya China Yuan kwenye orodha ya pesa duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS