Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

BancABC Tanzania kuwekeza kwenye bidhaa na huduma

Monday , 10th Apr , 2023

Benki ya BancABC Tanzania, imesema itaendelea kuwekeza kwenye bidhaa na huduma bunifu ili kuendana na hali halisi ya maisha ya kila ya wateja wake.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa BancABC Tanzania Imani John wakati wa futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake.

‘Tumeandaa futari hii ili kuonyesha Umoja na vile tunavyowajali wateja wetu’, alisema Iman huku akisema kuwa benki hiyo imekuwa na utamanduni wa muda mrefu wa kuandaa futari ikiwa ni ishara ya kuonyesha upendo kwa kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani

Katika futari hiyo iliyowakutanisha zaidi watu ya 300 wakiongozwa na Kaimu Shehe Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Walid Al-hadi Omar ambaye amewataka Watanzania bila ya kujali dini zao kuonyesha Umoja na mshikamano wakati huu wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Ni kawaida kwa mashirika ya kifedha kuwekeza sehemu ambayo wana uhakika wa kurundisha faida. Lakini BancABC imeonyesha utofauti kwani imeenda hatua mbele na kwa kweli huu ni mfano wa kupongezwa’, alisema Omar huku pia akiipongeza benki hiyo kwa kuendelea kuunga mkono miradi ya maendeleo na hasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Imani aliongeza kuwa BancABC imejikita kwenye huduma za kimtandao “kidijitali” ili kuwezesha Watanzania wengi walio nje na ndani ya nchi kuendelea kufanya miamala na kukuza pato la Taifa.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja