Chupa za plastiki
Wakizungumza na #EastAfricaTV wamesema kumekuwa na imani tofauti kuhusu watu wanaookota makopo wakidhaniwa kuwa ni wezi au watu wenye matatizo ya akili ambapo wamekunusha kauli hiyo kwa kusema wengi wao wanafanya kazi hiyo kama sehemu ya kupata kipato na kuendesha familia huku wengine wakitoka mikoa mbalimbali ikiwemo Mwanza na kuja Dar es Salaam kufanya shughuli hizo.