Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rukwa kusimamia miradi kwa ubora

Saturday , 3rd Dec , 2022

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga amezitaka Halmashauri za Mkoa huo kuhakikisha zinatekeleza miradi ya maendeleo kwa ubora na kuzingatia matumizi sahihi ya fedha za umma na kuahidi kuwa ataendelea kufuatilia bila kuchoka.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga akizungumza na wanafunzi Sumbawanga

Sendiga ameyasema hayo wakati wa ukaguzi wa mradi wa ujenzi vyumba  Hamsini (50) vya madarasa kwenye shule za sekondari za Manispaa ya Sumbawanga, mradi  unaolenga kuongeza madarasa kwa ajili ya mapokezi wa wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023.

Mgawanyo wa vyumba vya madarasa hayo kwa kila halmashauri ni Manispaa ya Sumbawanga (56), Nkasi (26 ), Kalambo (63) na Sumbawanga DC (46) na kuwa madarasa hayo yatakamilika Desemba 15 mwaka huu.

Kwa upande wake Meya wa Manispaa ya Sumbawanga Justin Malisawa alitoa wito kwa wazazi na walezi kujiandaa kuwapeleka shule watoto wao kwani serikali imeweka miundombinu karibu na maeneo yao na kuwa hakuna tena kikwazo kuhusu uhaba wa vyumba vya madarasa kwenye shule za msingi na sekondari.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja