Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Yanga yarejea Dar, kuivaa Simba Septemba 25

Monday , 20th Sep , 2021

Kikosi cha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania bara Yanga SC kimerejea nchini leo Asubuhi kikitokea nchini Nigeria ambako kilicheza mchezo wa klabu bingwa Afrika hatua ya awali dhidi ya Rivers United mchezo ambao Yanga ilifungwa 1-0 na kutupwa nje ya mashindano.

Wachezaji wa Yanga wakiwa uwanja wa Ndege

Kipigo hicho kimeifanya Yanga itupwe nje ya mashindano ya klabu bingwa kwa kipigo cha jumla cha mabao 2-0, kwenye michezo miwili wa ugenini na nyumbani, timu hiyo ya wananchi imepoteza michezo yote miwili kwa kufungwa bao 1-0. Kikosi cha Yanga kimerejea na msafara wa watu wote 60 ambao umejumuhisha wachezaji, viongozi na baadhi ya mashabiki.

 

Na kwa mujibu wa ripoti kutoka ndani ya Yanga zinadai kuwa timu hiyo ya wananchi ilikumbana na vitendo visivyo vya kiungwana yani figisu kutoka kwa wenyeji wao, ikiwemo kucheleweshewa majibu ya vipimo vya Uviko 19 na baadae wachezaji wao wanne kutajwa kuwa na Uviko 19 ambao ni Fei Toto, Mukoko Tonombe, Djdgui Diarra na Yacuba Sogne ingawa wachezaji wote hawa walicheza lakini pia Yanga hawakutumia vyumba rasmi vya kubadilishia nguo na badala yake walitumia sehemu ya benchi la kukaa makocha na wachezaji wa akiba uwanjani kama seheumu ya kubadilishia nguo.

Mara baada ya kutupwa nje ya michuano hiyo kikosi cha Yanga kinajikita zaidi kwenye michezo ya Ligi Kuu Tanzania bara na kombe la Azam Sports Federation Cup  na mchezo wao wa mashindano unaofata ni dhidi ya watani zao Simba SC mchezo wa ngao ya Jamii utakao chezwa Septemba 25 katika Dimba la Benjamini Mkapa Da es salaam.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja