Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Mkuu wa Mkoa ndio chanzo cha yote'' - Lipuli FC

Friday , 25th May , 2018

Klabu ya soka ya Lipuli FC imemtaja Mkuu wa Mkoa wa Iringa Bi Amina Amina Masenza, kuwa ndio chanzo cha mafanikio na umoja ndani ya timu hiyo inayoiwakilisha Iringa kwenye michuano ya ligi kuu soka Tanzania Bara.

Akiongea East Africa Television juu ya mwenendo wao kwa msimu mzima wa ligi kuu 2017/18, msemaji wa Lipuli FC, Clement Sanga, ameweka wazi kuwa Bi. Amina amekuwa nao bega kwa bega katika kipindi chote cha ligi kuu.

''Umoja na mshikamo wetu ndani ya klabu yetu ni matokeo ya juhudi za Mkuu wetu wa Mkoa Amina Masenza, amekuwa mtu muhimu sana kwenye kutuunganisha na kutusaidia pale tunapohitaji msaada wake hivyo mchango wake kwa timu hauelezeki'', amesema.

Mara kadhaa Bi. Amina amekuwa akitatua changamoto zilizokuwa zinaikabili timu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu na kuisadia kumaliza ligi katika nafasi ya 7 kwenye msimamo wa ligi kuu licha ya kusaliwa na mchezo mmoja.

Mpaka sasa Lipuli FC ina alama 38 kwenye mechi 29 ilizocheza na itamaliza ligi kwenye uwanja wake wa nyumbani dhidi ya Kagera Sugar siku ya Jumatatu Mei 28, 2018.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja