Rabadaba aibua ugomvi na Jeff

Msanii wa Uganda Rabadada

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Rabadaba ameripotiwa kuwa katika ugomvi na meneja wa kundi jipya la 'Team No Sleep' Jeff Kiwa, chanzo cha ugomvi kikiwa ni mwanamke ambaye amefahamika kwa jina Lydia Jazmine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS