Tanzania ina ongezeko la ukatili kwa watoto

Kaimu mkurugenzi mkuu wa kituo cha sheria na haki za binadamu, mwanasheria Harold Sungusia (kushoto).

Jumla ya watoto 963 wamelawitiwa kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita nchini Tanzania, huku sababu kuu ikitajwa kuwa ni ukatili unaofanywa dhidi yao pamoja na ukosefu wa mfumo bora na unaoeleweka wa kuwalinda watoto dhidi ya hatari na majanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS