Msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania, Nsachris Mwamwaja (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni
Serikali ya Tanzania imesema ugonjwa wa dengue umeonekana kuanza kupungua katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kutokana na wananchi kuchukua tahadhari kuhusu ugonjwa huo.