Mafikizolo wawakubali Watanzania

Mafikizolo jukwaani jijini Dar

Kundi la muziki la Mafikizolo ambalo usiku wa Jumamosi limefanya burudani ya aina yake Jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Mlimani City, wametoa ya moyoni kuwa, wamefurahishwa na kushangazwa na jinsi mashabiki wao hapa Tanzania wanavyowaelewa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS