Kamati ya uchaguzi Simba yafanya maamuzi mazito
kamati ya uchaguzi ya klabu ya simba ilifanya mkutano wake wa kawaida jana june 15 mwaka huu kujadili mambo mbalimbali ambayo yanahusu uchaguzi mkuu wa klabu hiyo ambao umepangwa kufanyika june 29 mwaka huu nakufikia maamuzi ya kuendelea na mchakato
