Kamati ya uchaguzi Simba yafanya maamuzi mazito

Kamati ya uchaguzi ya klabu ya soka ya Simba ikiwa katika picha ya pamoja katika moja ya mikutano mbele ya waandishi wa habari.

kamati ya uchaguzi ya klabu ya simba ilifanya mkutano wake wa kawaida jana june 15 mwaka huu kujadili mambo mbalimbali ambayo yanahusu uchaguzi mkuu wa klabu hiyo ambao umepangwa kufanyika june 29 mwaka huu nakufikia maamuzi ya kuendelea na mchakato

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS