Kodi yamtoa jasho Chameleone
Baada ya Mamlaka ya Mapato ya nchini Uganda, URA kuachia gari ya msanii Jose Chameleone hivi karibuni, maelezo yametolewa kuwa msanii huyu alilazimika kulipa shilingi milioni 40 za Uganda, kiasi cha kodi zilizotokana na shoo alizofanya huko Uganda.