Mwanafunzi afa kwa kutumbukia katika shimo
Mwanafunzi wa shule ya Sekondari Nandanga wa kidato cha kwanza Lukas Msukwa amefariki dunia baada ya kutumbukia katika shimo la Maji lililochimbwa na watengeneza barabara ya Mpemba hadi Wilayani Ileje, Mkoani Mbeya.