Kietyongyuth ampiga Miyeyusho

Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand (kulia) baada ya kumpiga Fransic Miyeyusho, katika raundi ya kwanza ya pambano na kumaliza pambano hilo kwa KO.

Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka nchini Thailand imempiga Bondia Francis Miyeyusho Chichi Mawe kwa Knock Out katika daidika za awali za mzunguko wa kwanza kati ya mizunguko kumi waliyotakiwa kucheza

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS