Azam wakabidhiwa Kombe
Timu ya Azam FC wamekabidhiwa kombe rasmi mara baada Kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya soka ya Tanzania bara kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake mwaka 2007 baada ya kutofungwa mchezo hata mmoja katika msimu huu wa ligi uliomalizika