Azam wakabidhiwa Kombe

Rais wa TFF,Jamal Malinzi akimkabidhi Kombe Nahodha wa Azam FC,John Bocco Adebayo

Timu ya Azam FC wamekabidhiwa kombe rasmi mara baada Kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya soka ya Tanzania bara kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake mwaka 2007 baada ya kutofungwa mchezo hata mmoja katika msimu huu wa ligi uliomalizika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS