Serikali yauonya UKAWA

Waziri mkuu wa Tanzania, mheshimiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda

Serikali ya Tanzania imeuonya umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kuwa kama hautarudi bungeni kutafuta muaafaka na kuamua kuzunguka nchi nzima kupotosha wananchi, serikali haitawanyamazia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS