Lipumba aikosoa bajeti ya serikali

Mtaalamu wa masuala ya uchumi ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF.

Mtaalam wa uchumi nchini Tanzania Profesa Ibrahim Lipumba amesema bajeti ya serikali kwa mwaka ujao wa fedha haijaweka wazi namna itakavyomsaidia mwananchi kutokana na kile alichoeleza kuwa ni kukosekana kwa vipaumbele katika miradi ya maendeleo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS