Ashanti, Oljoro na Rhino zashuka daraja.

Timu ya Ashanti United

Michuano ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2013/14 imefikia tamati leo (Aprili 19, 2014) kwa timu zote 14 kuwa viwanjani, na kushuhudia Ashanti United ikiteremka daraja kurudi ligi ya daraja la kwanza msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS