Ashanti, Oljoro na Rhino zashuka daraja.
Michuano ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2013/14 imefikia tamati leo (Aprili 19, 2014) kwa timu zote 14 kuwa viwanjani, na kushuhudia Ashanti United ikiteremka daraja kurudi ligi ya daraja la kwanza msimu ujao.