Bunge latakiwa kuchunguza mikataba tata ya madini

Waziri kivuli wa nishati na madini nchini Tanzania, mbunge wa Chadema John Mnyika.

Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imeitaka serikali kuunda kamati teule ya bunge kuchunguza mikataba inayotiliwa shaka na wabunge kuwa kuna ufisadi umefanyika ukiwahusisha viongozi mbalimbali wa serikali katika Wizara ya Nishati na Madini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS