Mkurugenzi mkuu wa taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu - NIMR, Dkt Mwele Malecela
Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu nchini Tanzania NIMR, imesema kuwa inaanza kufanya tafiti za kubaini kama kuna tishio lolote la ugonjwa wa Ebola hapa nchini.